Your Pathway to Success

Breakingnews Mchekeshaji Erick Kisauti Hivyo Hivyo Afariki Dunia

breakingnews Mchekeshaji Erick Kisauti Hivyo Hivyo Afariki Dunia
breakingnews Mchekeshaji Erick Kisauti Hivyo Hivyo Afariki Dunia

Breakingnews Mchekeshaji Erick Kisauti Hivyo Hivyo Afariki Dunia #erickkisauti #breakingnews #comedy. Leo tumepokea taarifa za kifo cha mchekeshaji maalufu nchini tanzania erick kisauti aliyefariki leo mapema asubuhi. moja kati ya marafiki wake wa karibu na m.

Tanzia mchekeshaji erick kisauti afariki dunia Sababu Ya Kifo Chake
Tanzia mchekeshaji erick kisauti afariki dunia Sababu Ya Kifo Chake

Tanzia Mchekeshaji Erick Kisauti Afariki Dunia Sababu Ya Kifo Chake Subscribe kwa channel yetu c mizukamedia?sub confirmation=1kwenye video hii utapatba kuskia kuhusu mchekeshaji erick hivyo hivyo kuaga du. Mchekeshaji erick ivyo ivyo (sauti ya gharama) amefariki dunia alfajiri ya leo na kwa sasa mwili wa marehemu upo kibaha mkoani pwani kwa dada yake. submitted by shaluwa anta on jumatano , 17th aug , 2022. picha ya mchekeshaji mkojani na marehemu erick ivyoivyo. mchekeshaji mkojani bin daruweshi amethibitisha taarifa hiyo kwa kusema sasa hivi. Mchekeshaji wa muda mrefu sobogani zabron maarufu erick kisauti amefariki alfajiri ya leo akiwa nyumbani kwa ndugu zake kibaha mkoani pwani. mchekeshaji mwenzie, masai nyota aliyewahi kufanya nae kazi mbalimbali za sanaa ambaye amesema ni taarifa za ukweli na amezipokea asubuhi ya leo na kwamba kwa sasa anajiandaa kuelekea kibaha mahali ulipo. Erick kisauti afariki dunia mchekeshaji sobogani zabron ‘erick kisauti’ wa vituko show iliyokuwa inaruka katika luninga ya channel ten, amefariki dunia leo agosti 17, 2022. taarifa zilizothibitishwa na msanii mwenzake wa vichekesho, tiny white, zinaeleza kuwa msanii huyo amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.

Picha Maziko Ya mchekeshaji erick kisauti Mkoani Mwanza Millard Ayo
Picha Maziko Ya mchekeshaji erick kisauti Mkoani Mwanza Millard Ayo

Picha Maziko Ya Mchekeshaji Erick Kisauti Mkoani Mwanza Millard Ayo Mchekeshaji wa muda mrefu sobogani zabron maarufu erick kisauti amefariki alfajiri ya leo akiwa nyumbani kwa ndugu zake kibaha mkoani pwani. mchekeshaji mwenzie, masai nyota aliyewahi kufanya nae kazi mbalimbali za sanaa ambaye amesema ni taarifa za ukweli na amezipokea asubuhi ya leo na kwamba kwa sasa anajiandaa kuelekea kibaha mahali ulipo. Erick kisauti afariki dunia mchekeshaji sobogani zabron ‘erick kisauti’ wa vituko show iliyokuwa inaruka katika luninga ya channel ten, amefariki dunia leo agosti 17, 2022. taarifa zilizothibitishwa na msanii mwenzake wa vichekesho, tiny white, zinaeleza kuwa msanii huyo amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. Hata hivyo mchekeshaji huyo enzi za uhai wake alitamba na kazi kibao zilizompa umarufu pamoja na aina ya uzungumzaji wake unaomfanya aitwe kisauti kazi hizo ni, saladini na zingine nyingi. also read prime lil wayne na mfumo wa 4:4:2 katika familia. Hatimaye mwili wa mchekeshaji sobagani zabron maarufu erick kisauti (37) umezikwa katika makaburi ya nyasaka ilemela jijini mwanza maziko hayo yamehudhuriwa na mkuu wa wilaya ya ilemela hassan masala, wasanii wa pamoja na wananchi. mchekeshaji erick kisauti alifariki usiku wa kuamkia jumatano agosti 17, huko kibaha mkoani pwani alikokuwa akiendelea na matibabu.

Comments are closed.