Your Pathway to Success

Christina Shusho Aamua Kuachana Na Mumewe Chanzo Na Sababu

christina Shusho Aamua Kuachana Na Mumewe Chanzo Na Sababu Zote Hizi
christina Shusho Aamua Kuachana Na Mumewe Chanzo Na Sababu Zote Hizi

Christina Shusho Aamua Kuachana Na Mumewe Chanzo Na Sababu Zote Hizi Mwimbaji wa nyimbo za injili christina shusho amefunguka kuhusu kuachana na mumewe na sababu iliyopelekea kuachana kwao. alieleza kuwa alimuomba mumewe amwache ili aweze kuzingatia kile ambacho mungu amemuitia kukifanya. wanamtandao walionyesha maoni tofauti baada ya ufichuzi huo, huku baadhi wakimtaka atatue mzozo na mume wake. Christina shusho. image: instagram. mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili wa tanzania christina shusho amejitokeza kuzungumzia uvumi kuhusu ndoa yake iliyovunjika. katika taarifa yake ya jumapili jioni, mwimbaji huyo wa kibao ‘shusha nyavu’ alibainisha kuwa kumekuwa na maswali mengi yaliyotokana na mahojiano aliyofanya mwaka wa 2020 na 2022.

sababu Ya kuachana Kwa christina shusho na Mume Wake Yatajwa Youtube
sababu Ya kuachana Kwa christina shusho na Mume Wake Yatajwa Youtube

Sababu Ya Kuachana Kwa Christina Shusho Na Mume Wake Yatajwa Youtube Gospo tv ilipata nafasi ya kuzungumza na mume wa mwimbaji christina shusho ambaye anatambulika kama john shusho na ameeleza machache kuhusu familia yake na m. Sababu ya christina shusho kutengana na mumewe, maisha yake halisi sasa. mwimbaji tajika kutoka tanzania christina shusho amefunguka kuhusu kutengana na mumewe ili aweze kuzingatia wito wake. nyota huyo aliyevuma na wimbo wa shusha nyavu alikuwa kwenye mahojiano na new jerusalem church tv, ambapo alisema alikuwa na ndoto ambayo alitarajia kuona. Pengine ukweli unaweza kukuta mumewe ndiyo tatizo. labda kamfumania mara kadhaa au matatizo ya kiafya kwenye tendo la ndoa, n.k. inawezekana kuna siri kubwa christina anamtunzia aliyekuwa mumewe ameona siyo vema kutamka hadharani shida ya mumewe akaona bora atafute sababu itakayo linda heshima ya jamaa. #shusho#adam#church#kenya.

Comments are closed.