Your Pathway to Success

Kota Za Magomeni Mwezi Huu

Ujenzi Wa Mradi Wa Nyumba za magomeni kota Ulipofikia Youtube
Ujenzi Wa Mradi Wa Nyumba za magomeni kota Ulipofikia Youtube

Ujenzi Wa Mradi Wa Nyumba Za Magomeni Kota Ulipofikia Youtube Tba kukamilisha mradi wa magomeni kota. imewekwa: wednesday 17, april 2019. wakala wa majengo tanzania (tba), imenunua mitambo ya kuchakata zege pamoja na mashine za kutengeneza tofali ambazo zitatumika kupunguza gharama za ujenzi katika miradi mbalimbali inayotekelezwa na tba ukiwemo mradi wa nyumba za makazi magomeni kota. hayo yamesemwa na. Waziri wa ujenzi mhe. innocent bashungwa ameitaka wakala wa majengo tanzania (tba) kuhakikisha nyumba za makazi zinazosimamia wapangaji wote wanalipa kodi kwa wakati pamoja na kukusanya madeni kwa wadaiwa sugu kwa kufata sheria za mikataba ili fedha hizo zitumike katika ujenzi wa majengo mawili kwa ajili ya watumishi wa umma (block c na d,) magomeni kota awamu ya pili ambayo ujenzi wake.

Tazama Tba Yatangaza Bei Mpya Nyumba za magomeni kota Youtube
Tazama Tba Yatangaza Bei Mpya Nyumba za magomeni kota Youtube

Tazama Tba Yatangaza Bei Mpya Nyumba Za Magomeni Kota Youtube Na emmanuel mbatilo, dar es salaam. mradi wa nyumba za makazi wa magomeni kota umekamilika kwa asilimia 91 huku ukitarajiwa kupokea kaya zipatazo 644 kama ilivyoelekezwa na rais dkt.john joseph magufuli mnamo oktoba, 2016. akizungumza na waandishi wa habari leo jijini dar es salaam wakati alipotembelea mradi huo naibu waziri wa ujenzi na. Na francisca emmanuel may 8, 2023. bei mpya nyumba za magomeni kota zatangazwa. wakala wa majengo tanzania (tba), umesema rais samia suluhu hassan ameongeza muda wa ununuzi wa nyumba 644 za magomeni kota kutoka miaka 15 hadi 30. akizungumza na waandishi wa habari leo dar es salaam, mtendaji mkuu wa tba, daud kondoro amesema gharama za nyumba. Alisema kuwa kutokana na kuwa serikali imeshawakabidhi pesa zote za kuweza kukamilisha mradi huo wanatarajia kuukamilisha ndani ya muda walioupanga. mradi huo utakaotumia gharama nafuu na kwa kuzingatia thamani ya fedha ikiwa ni pamoja na kuunganisha makazi na miundombinu ya huduma muhimu hadi kukamilika unatarajiwa kughalimu shilingi bilioni 20. Nyumba za magomeni kukabidhiwa mwisho wa mwezi huu: wakala wa majengo nchini (tba) imeahidi kukamilisha ujenzi wa nyumba za kota za magomeni mwisho mwa mwezi huu tayari kwa kukabidhiwa kaya 644 azam tv nyumba za magomeni kukabidhiwa mwisho wa mwezi.

Maagizo Ya Jpm magomeni kota Kumenoga Tunakamilisha mwezi huu Kaya
Maagizo Ya Jpm magomeni kota Kumenoga Tunakamilisha mwezi huu Kaya

Maagizo Ya Jpm Magomeni Kota Kumenoga Tunakamilisha Mwezi Huu Kaya Alisema kuwa kutokana na kuwa serikali imeshawakabidhi pesa zote za kuweza kukamilisha mradi huo wanatarajia kuukamilisha ndani ya muda walioupanga. mradi huo utakaotumia gharama nafuu na kwa kuzingatia thamani ya fedha ikiwa ni pamoja na kuunganisha makazi na miundombinu ya huduma muhimu hadi kukamilika unatarajiwa kughalimu shilingi bilioni 20. Nyumba za magomeni kukabidhiwa mwisho wa mwezi huu: wakala wa majengo nchini (tba) imeahidi kukamilisha ujenzi wa nyumba za kota za magomeni mwisho mwa mwezi huu tayari kwa kukabidhiwa kaya 644 azam tv nyumba za magomeni kukabidhiwa mwisho wa mwezi. Mkuu wa wilaya ya kinondoni daniel chongolo amefanya ziara ya kutembelea mradi wa nyumba za magomeni kota, ameridhishwa na kasi ya mradi huo ulipofikia na ku. Familia zaidi ya 600 zilizokuwa zikiishi katika kota za magomeni zinatarajiwa kurejea katika eneo hilo juni 30, mwaka huu baada ya wakala wa majengo tanzania(tba) kukamilisha ujenzi wa majengo hayo. akizungumza baada ya kutembelea eneo hilo na kuangalia maendeleo ya ujenzi, waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano isack kamwelwe, amewaagiza.

Comments are closed.