Your Pathway to Success

Majina Ya Allah Na Fadhila Zake 10

majina ya allah na Sifa zake Youtube
majina ya allah na Sifa zake Youtube

Majina Ya Allah Na Sifa Zake Youtube أسماء الله الحسنى وصفاته. majina ya allaah mazuri na swifa zake alhidaaya الله. 001 allaah allaah: mwenye uluwhiyyah (anayestahiki kuabudiwa pekee bila kumshirikisha) na al ‘ubuwdiyyah (unyenyekevu, mapenzi, khofu ya adhabu za allaah na kutaraji rahma za allaah, utiifu na udhalili kwa allaah aliyetukuka, na kutovuka mipaka yake, na kutekeleza maamrisho yake na. Hana wa kufanana naye katika majina na sifa zake, kama allah alivyosema kuwa: «hakuna kitu chochote kilicho kama yeye, na yeye ndiye tu mwenye kusikia, mwenye kuona». (sura ash shuuraa, aya 11). allah ametakasika, hafanani na yeyote katika viumbe vyake katika majina yake yote na sifa zake zote. «sema: muombeni (allah kwa jina la) allah au.

majina ya allah Youtube
majina ya allah Youtube

Majina Ya Allah Youtube Majina 99 ya allah (sw) mwenyezi mungu s.w.t. katuamrisha sisi waislamu katika kitabu chake, qurani tukufu, tumuombe kwa kutumia majina yake. kama alivyosema katika. suratil israa aya ya 110, “. دْ عُوا فَلَھُ الأَسْمَاءُ الْحُسْنَ ق ىلُ ادْ عوُا للهَّ أوَْ ادْ عُوا. Pili: kuyatambua majina ya allah na sifa zake ndio msingi mkuu wa elimu zote, na ni msingi wa imani. na waajib wa mwanzo, watu watakapo mfahamu mola wao watamwabudu ibada ya kikwelikweli, amesema allah mtukufu: {jua ya kwamba hakuna aabudiwaye kwa haki ila mwenyezi mungu} (muhammad: 19) tatu: katika kumjua allah mtukufu kwa majina yake na sifa. Kumkumbuka allaah (subhaanahu wa ta'aalaa) kwa kutumia majina yake au aina yoyote ya tasbiyh kwa kutaja idadi ma'aluum bila kuweko dalili katika qur aa au sunnah ni jambo la uzushi (bid'ah) na linapaswa kuachwa kwani mtu atahangaika bure na kitendo hakitokubaliwa kutokana na dalili za hadiyth nyingine kuhusu mambo ya bid'ah, mojawapo wapo ni. Mafunzo sahihi ya kiislamu kutoka qur aan na sunnah kwa ufahamu wa salaf wa ummah (salaf swaalih, righteous predecessors) tarjama ya qur aan, tafsiyr, hadiyth, tawhiyd ya allaah, manhaj, 'aqiydah, fataawa za 'ulamaa, kauli za salaf, du'aa, adhkaar, duruws za kielimu, mawaidha, makala, maswali na majibu, vitabu, ahkaam za tajwiyd, chemsha bongo, mapishi na mengineyo.

Yafahamu majina 99 ya allah na Faida zake Kiundani Youtube
Yafahamu majina 99 ya allah na Faida zake Kiundani Youtube

Yafahamu Majina 99 Ya Allah Na Faida Zake Kiundani Youtube Kumkumbuka allaah (subhaanahu wa ta'aalaa) kwa kutumia majina yake au aina yoyote ya tasbiyh kwa kutaja idadi ma'aluum bila kuweko dalili katika qur aa au sunnah ni jambo la uzushi (bid'ah) na linapaswa kuachwa kwani mtu atahangaika bure na kitendo hakitokubaliwa kutokana na dalili za hadiyth nyingine kuhusu mambo ya bid'ah, mojawapo wapo ni. Mafunzo sahihi ya kiislamu kutoka qur aan na sunnah kwa ufahamu wa salaf wa ummah (salaf swaalih, righteous predecessors) tarjama ya qur aan, tafsiyr, hadiyth, tawhiyd ya allaah, manhaj, 'aqiydah, fataawa za 'ulamaa, kauli za salaf, du'aa, adhkaar, duruws za kielimu, mawaidha, makala, maswali na majibu, vitabu, ahkaam za tajwiyd, chemsha bongo, mapishi na mengineyo. Amesema allah mtukufu: {na mwenyezi mungu ana majina mazuri kabisa, basi muombeni kwa hayo} (al a’araf: 180), na kumuomba allah kwa majina haya yakusanya aina zote za dua, dua ya kuomba, dua ya kumshukuru allah dua ya kuabudu, naye allah aliyetukuka anawataka waja wake kumtambua yeye na kuyatambua majina yake na sifa zake ili wamsifu yeye kwa. Imepokelewa kutoka kwa anas bin maalik radhi za mwenyezi mungu ziwe juu yake amesema:nilimsikia mtume rehema na amani ziwe juu yake akisema: “amesema mwenyezi mungu, aliyetakasika na kutukuka: “ewe mwanadam, maadamu unaniomba na kunitumainia, nitakusamehe uliyo nayo wala sitojali ewe mwanadam lau madhambi yako yangefika mawinguni kisha ukaniomba msamaha ningekusamehe wala sijali ewe.

Comments are closed.