Your Pathway to Success

Shamimu Mwasha Na Mumewe Wahukumiwa Kifungo Cha Maisha Jela Kisa

shamimu Mwasha Na Mumewe Wahukumiwa Kifungo Cha Maisha Jela Kisa
shamimu Mwasha Na Mumewe Wahukumiwa Kifungo Cha Maisha Jela Kisa

Shamimu Mwasha Na Mumewe Wahukumiwa Kifungo Cha Maisha Jela Kisa Mfanyabiashara abdul nsembo na mkewe shamim mwasha wamehukumiwa kutumikia kifungo cha maisha gerezani baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kusafirisha na k. Mahakama kuu kitengo cha uhujumu uchumi na makosa ya rushwa, maarufu kama mahakama ya mafisadi, imemhukumu blogger shamimu mwasha (41), na mume wake abdul i.

shamimu mwasha na mumewe Abdul Nsembo wahukumiwa kifungo chaо
shamimu mwasha na mumewe Abdul Nsembo wahukumiwa kifungo chaо

Shamimu Mwasha Na Mumewe Abdul Nsembo Wahukumiwa Kifungo Chaо Mahakama kuu kitengo cha uhujumu uchumi na makosa ya rushwa, maarufu kama mahakama ya mafisadi, imemuhukumu blogger shamimu mwasha (41), na mume wake abdul nsembo, maarufu kama abdulkandida (45) kutumikia kifungo cha maisha gerezani baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroine. hukumu hiyo imetolewa leo machi 31. Dar es salaam. wanandoa, abdul nsembo na mkewe, shamimu mwasha wamehukumiwa adhabu ya kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya makosa ya kusafirisha dawa za kulevya. hukumu hiyo imetolewa leo jumatano machi 31, 2021 na jaji elinaza luvanda wa mahakama kuu divisheni ya makosa ya rushwa na uhujumu uchumi, maarufu kama mahakama ya. Mahakama kuu divisheni ya makosa ya rushwa na uhujumu uchumi, maarufu kama mahakama ya mafisadi, imewahukumu washtakiwa shamimu omary mwasha (43), na mume wake abdul issa nsembo (47) kutumikia kifungo cha maisha gerezani baada ya kupatikana na hatia ya kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin hydrocloride zenye uzito wa gramu 275.40. Shamimu, anayemiliki blog ya 8020 na mumewe nsembo, maarufu kama abdulkadinda, mfanyabiashara walikuwa wanakabiliwa na mashtaka mawili ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroini gramu 439.70, wakidaiwa kutenda kosa hilo mei mosi 2019, eneo la mbezi beach jijini dar es salaam. kitaifa. familia.

Vilio Mahakamani shamimu na mumewe Nsembo wahukumiwa kifungo cha
Vilio Mahakamani shamimu na mumewe Nsembo wahukumiwa kifungo cha

Vilio Mahakamani Shamimu Na Mumewe Nsembo Wahukumiwa Kifungo Cha Mahakama kuu divisheni ya makosa ya rushwa na uhujumu uchumi, maarufu kama mahakama ya mafisadi, imewahukumu washtakiwa shamimu omary mwasha (43), na mume wake abdul issa nsembo (47) kutumikia kifungo cha maisha gerezani baada ya kupatikana na hatia ya kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin hydrocloride zenye uzito wa gramu 275.40. Shamimu, anayemiliki blog ya 8020 na mumewe nsembo, maarufu kama abdulkadinda, mfanyabiashara walikuwa wanakabiliwa na mashtaka mawili ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroini gramu 439.70, wakidaiwa kutenda kosa hilo mei mosi 2019, eneo la mbezi beach jijini dar es salaam. kitaifa. familia. Shamimu mwasha na mumewe wakutwa na kesi ya kujibu katika tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya. kuanza kujitetea septemba 3. mahakama kuu divisheni ya uhujumu uchumi na rushwa maarufu kama mafisadi imesema kwamba mfanyabiashara abdu nsembo (45) na mke wake shamimu mwasha (41), wana kesi ya kujibu. N jia za kumuwezesha shamim mwasha na mumewe abdul nsembo waliohukumiwa kifungo cha maisha gerezani machi 31, mwaka huu ni mbili. ya kwanza, ni kushinda rufaa endapo wataamua kufanya hivyo, ikishindika huruma ya rais kuwatoa gerezani itakuwa ndiyo karata yao ya mwisho. tofauti na hapo maisha yao yatakuwa gerezani hadi watakapomrudia mungu.

Breaking shamimu mwasha na mumewe wahukumiwa maisha jela
Breaking shamimu mwasha na mumewe wahukumiwa maisha jela

Breaking Shamimu Mwasha Na Mumewe Wahukumiwa Maisha Jela Shamimu mwasha na mumewe wakutwa na kesi ya kujibu katika tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya. kuanza kujitetea septemba 3. mahakama kuu divisheni ya uhujumu uchumi na rushwa maarufu kama mafisadi imesema kwamba mfanyabiashara abdu nsembo (45) na mke wake shamimu mwasha (41), wana kesi ya kujibu. N jia za kumuwezesha shamim mwasha na mumewe abdul nsembo waliohukumiwa kifungo cha maisha gerezani machi 31, mwaka huu ni mbili. ya kwanza, ni kushinda rufaa endapo wataamua kufanya hivyo, ikishindika huruma ya rais kuwatoa gerezani itakuwa ndiyo karata yao ya mwisho. tofauti na hapo maisha yao yatakuwa gerezani hadi watakapomrudia mungu.

Kesi Ya Uhujumu Uchumi shamimu mwasha na Mume Wake wahukumiwa maisha
Kesi Ya Uhujumu Uchumi shamimu mwasha na Mume Wake wahukumiwa maisha

Kesi Ya Uhujumu Uchumi Shamimu Mwasha Na Mume Wake Wahukumiwa Maisha

Comments are closed.