Your Pathway to Success

Siku Ya Utakaso Beka Mfaume Ragin Mmbaga

utakaso Katika Maeneo Haya Matatu Seh ya 2 Pr David mmbaga Official
utakaso Katika Maeneo Haya Matatu Seh ya 2 Pr David mmbaga Official

Utakaso Katika Maeneo Haya Matatu Seh Ya 2 Pr David Mmbaga Official Baada ya kutamba na riwaya kali na za kusisimua za mwanamji na siku ya utakaso zilizochapishwa kwenye gazeti bora la michezo na burudani kwa ukanda wa afrika mashariki, mwanaspoti. gwiji la riwaya nchini, beka mfaume sasa anakuja na kitu kingine kitamu zaidi kinachokwenda kwa jina la jeraha la mwiba. Mtu huyo ambaye safari yake ilianzia kituo cha treni cha kingolwira mkoani morogoro wakati treni iliposimama, alipanda akiwa hana mzigo wowote aliobeba au kushika chochote mkononi. akapata kiti ndani ya behewa aliloingia, na tangu hapo hakuzungumza na abiria yeyote na wala hakuinuka kwenda popote. hakutikisika, wala hakumwangalia yeyote.

Live Ibada ya siku 10 Za Maombi 2023 Pr David mmbaga Chukua Tahadhari
Live Ibada ya siku 10 Za Maombi 2023 Pr David mmbaga Chukua Tahadhari

Live Ibada Ya Siku 10 Za Maombi 2023 Pr David Mmbaga Chukua Tahadhari Siku ya utakaso (07) beka mfaume (the greatest) “nitarudi!” mwindaji alimwambia mmasai kupitia dirishani bila kulisimamisha gari lake. kisha akamwangalia kwenye. Mwandishi: beka mfaume. sehemu ya kwanza . judi alimalizia kujifunga mkufu shingoni baada ya kukamilisha kujikwatua kwa vipodozi tofauti vya gharama huku akiwa amevaa vazi lililompendeza mwilini. alikuwa ameamkia nyumbani kwa richard ambako alikuja usiku uliopita na kulala hadi asubuhi hiyo. Siku ya utakaso (05) beka mfaume (the greatest) mchana wa siku hiyo, husna akapigiwa simu. ilikuwa simu ya mtu mgeni ambaye usajili wake haumo kwenye simu yake. akaitabiri inatoka wapi. Siku ya utakaso (04) beka mfaume (the greatest) nyumbani kwa wazazi wake beda, familia yote iliamka asubuhi ikiwa imechanganyikiwa. kutorudi kwa beda nyumbani usiku.

Comments are closed.